Michezo
Ferrer bingwa wa Swedish Open
Mchezaji tenisi raia wa Hispania, David Ferrer amefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya wazi ya Swedish (Swedish Open) baada ya kumfunga mpinzani wake Alexandr Dolgopolov kwa jumla ya seti 6-4 6-4.
Mchezaji tenisi raia wa Hispania, David Ferrer
Ferrer anaeshika nafasi ya 46 katika viwango vya ubora wa mchezo huo duniani hilo na taji lake la 27 kwenye historia yake ya mchezo wa tenisi.
Hili ni kombe kubwa kwa Ferrer toka ashinde kombe la Vienna Open miaka miwili iliyopita
By Hamza fumo