Bongo Movie

Filamu 10 za Tanzania zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014

Bongo5 ikishirikiana wauzaji na wasambazaji wa filamu, wapenzi wa filamu hizo na wadau wengine kwenye kiwanda hicho nchini inakuletea orodha ya filamu 10 zilizofanya vizuri sokoni mwaka 2014. Bongo5 iliweza kushirikiana na wauzaji wa mitaani ‘Library’, wauzaji wa jumla wa maduka ya Kariakoo, pamoja na wasambazi wakuu wa filamu hapa nchini ambao ni Steps Entertainment, Splash, Pili Pili na wasambazaji wengine wadogo wadogo kupata orodha hii.

Wakizungumza na Bongo5 wakati wa kukusanya research hiyo, wadau mbalimbali walisema kwa sasa watu hawaangalii tena ukumbwa wa jina kwenye filamu bali wanaangalia story na jinsi wahusika walivyovaa uhusika. Hizi ni filamu 10 zilizofanya vizuri mwaka huu.

1.Chausiku
Cast : Shamsa Ford, Mayassa Mrisho, Rammy Galis, Cathy Rupia
chausiku1

2.Siri Ya Giningi
Cast: Sabby Angel, Salim Ahmed “Gabo” na Mzee Korongo
Salim Ahmed

3.Hukumu ya Ndoa Yangu

Casts: Fatma Makongoro, Jacob Stephen, Shamsa Ford
hukumu_ya_ndoa_yangu

4.Kigodoro
Casts: Mama Abdul, Abdalah Mkumbila, Diana Kimaryo, Hemed Suleiman, Kajala Masanja, Riyama Ally
kigodoro_

5.Zena na Betina
Cast: Salma Jabu aka Nisha
Zena

6.Tom Boy
Casts: Seif Mbembe, Abdallah Mkumbila, Jaqueline Wolper, Nice Mohamed
tom_boy

7.Nendeza Mwali wa Kizaramo
Mohamed Salum, Latifa Shabani, Halima Hashim, Hashim Rajab Dituth

8.Aliyemchokoza Kaja

Cast: Adam Kuambiana, Mohamed Nurdin, Irene Uwoya
aliyenichokoza_kaja

9.Nahama
Casts: Bi Hindu, King Majuto, Masayo
nahama

10.Sanduku la Babu
Cast: Mjomba Nishak (JOTI), Mzee Mpauko (JOTI), Aunt Tausi (JOTI)
joti_sanduku_la_babu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents