Bongo MovieBongo5 ExclusivesBurudaniHabari
Wema Sepetu: Sina tatizo lolote na Hamisa Mobeto
Jana kwenye Iftar yake Tz Sweetheart @wemasepetu aliulizwa na @el_mando_tz kuhusu ukaribu wake na mastaa mbalimbali maana wengi hawakuhudhuria kwenye Iftar yake.
Lakini pia aliulizwa kuhusu yale maneno ya mtandaoni kuwa ana ugomvi na @hamisamobetto
@wemasepetu ameweka wazi kabisa kuwa hana ugomvi wowote na @hamisamobetto na ndio maana hata kwenye Iftar yake alimualika.