Bongo MovieBongo5 ExclusivesBurudaniHabari

Wema Sepetu: Sina tatizo lolote na Hamisa Mobeto

Jana kwenye Iftar yake Tz Sweetheart @wemasepetu aliulizwa na @el_mando_tz kuhusu ukaribu wake na mastaa mbalimbali maana wengi hawakuhudhuria kwenye Iftar yake.

Lakini pia aliulizwa kuhusu yale maneno ya mtandaoni kuwa ana ugomvi na @hamisamobetto

@wemasepetu ameweka wazi kabisa kuwa hana ugomvi wowote na @hamisamobetto na ndio maana hata kwenye Iftar yake alimualika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents