Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Hamisa Mobeto azungumzia urafiki wake na Wema Sepetu
Jana kwenye Iftar ya @wemasepetu tulikutana na @hamisamobetto na kuzungumza naye baadhi ya mambo kuhusu muziki wa Bongo Fleva.
@el_mando_tz alimuuliza kuhusu Tuzo zilizotangazwa na kusema kuwa kwa upande wake hana taarifa kama kuna tuzo zimetangazwa.
@hamisamobetto ameongeza kuwa kwenye muziki hana muda sana kwani alikuwa anafanya kwa sababu anapenda ila hana muda mrefu.
Mbali na hilo mwanadada Hamisa Mobeto ameeleza kuhusu ukaribu wake na Wema Sepetu.