Habari

Free at last: Ja Rule atoka jela

Baada ya kutumikia kifungo cha karibu miaka miwili jela, hatimaye rapper Ja-Rule ameachiwa. Ja Rule alikuwa jela kwa makosa ya kukwepa kulipa kodi na kumiliki silaha.

jarule

Ameachiwa miwezi miwili kabla ya muda kwenye gereza la Ray Brook jijini New York jana. Rapper huyo alipokelewa na mke wake na kuelekea nyumbani ambako atakuwa kwenye ‘house arrest’ hadi July 28.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents