Burudani
Grace Matata aonesha kava ya ngoma yake mpya ‘Uwe Wangu’, inayotoka mwezi huu
Baada ya kimya cha muda mrefu na likizo ndefu ya uzazi, malkia wa R&B Soul nchini, Grace Matata anatarajia kukinukisha tena mwezi huu.
Muimbaji huyo wa zamani wa Mlab ataachia wimbo wake mpya uitwao Uwe Wangu uliotayarishwa na producer aitwaye Bunduki.
Pia hitmaker huyo wa ‘Free Soul’ ameonesha cover la single hiyo.