Burudani
Harmonize arusha dongo ?: Wasanii wawili wanaingia studio kurekodi, wimbo mzima unamzungumzia Konde boy (+ Video)
Kutokana na taarifa za kuwa wimbo wa Baba levo aliomshirikisha Diamond Platnumz kusemekana kuwa ni dongo kwa Harmonize na hata jana katika kipindi cha RECAP NA MANDO kinachoruka Bongo5 kilizungumzia hilo sakata sasa Harmonize ameliongelea.
Kupia Instagram yake jana alienda Insta live na kuongea haya:-