Michezo

Jela yamuita wakala wa Eto’o, Jose Mata

Mchezaji wa zamani wa Barcelona, Samuel Eto’o na timu ya taifa ya Cameroon huenda akafungwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya waendesha mashtaka kumhusisha na kashfa ya kukwepa kulipa ushuru nchini Hispania.

samuel-etoo-1

Eto’o kwasasa anakipiga Antalya Spor wa Uturuki, ni mmoja wa wachezaji ambao waliowahi kuchukua tuzo ya Mwanasoka Afrika mara nne.

Mahakama ya nchini Hispania imeanza kusikiliza kesi ambayo tayari imeeleza kuda kitita cha cola million 15.1 kwa mshambuliaji huyo kwa madai alikwepa kodi wakati wakati akiichezea Barcelona.

md_20130704_fotos_d_54377212950-652x492mundodeportivo-web
Samuel Eto’o akiwa na wakala wake Jose Maria Mesalles Mata

Taarifa zinasema, mwakilishi wa Eto’o, Jose Maria Mesalles Mata ndiye anaweza kukutana na adhabu hiyo kama mwanasoka huyo raia wa Cameroon hatatokea.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents