HabariMichezo

Jemedari aambiwa asimame ampigie makofi rais wa Yanga Eng. Hersi (+Video)

Mchambuzi mahiri wa soka @jemedarisaid amefunguka alichoambiwa na @privaldinho wakati walipokuwa Ikulu katika mualiko wa Rais Samia.

“Kijana wangu @privaldinho watoto hawa, alikuwa anajaribu bahati yake… tukasikia makofi hivi, simama Bin Kazumari nikamuuliza nini Rais wa @yangasc @caamil_88 anaingia nikamuambia umechanganyikiwa nini.”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents