Burudani

Kim Kardashian anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili siku ya Christmas

Rapper Kanye West na mkewe Kim Kardashian ambaye ni mjamzito wanatarajia kumpokea mdogo wake na North siku ya Christmas, ambapo Kim ndio anatarajia kujifungua.

kanye-kim

Kwa mujibu wa TMZ, Kim K anatarajia kujifungua mtoto wake wa pili Dec. 25. Vyanzo vya karibu vimedia kuwa couple hiyo tayari ime ‘book’ Deluxe Maternity Suite kwenye hospitali ya Cedars-Sinai Medical Center iliyoko L.A, Marekani.

Hiyo ndio hospitali ambapo mtoto wao wa kwanza North West mwenye miaka miwili sasa pia alizaliwa.

Hivi karibuni Kim K kupitia Twitter alitangaza kuwa anatarajia kupata mtoto wa kiume.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents