Technology
KLM lawa shirika la kwanza la ndege duniani kuruhusu booking kwa njia ya Facebook na Twitter
Kampuni ya KLM Royal Dutch Airlines imetangaza huduma mpya itakayowaruhusu abiria kufanya booking, kununua tiketi kwa njia ya Facebook na Twitter.
Kampuni hiyo ya Uholanzi, imefanya mchakato wa kukata tiketi kuwa rahisi zaidi ambapo abiria wanaokubali kuzungumzua booking kwenye mitandao ya kijamii watapokea ujumbe binafsi kupitia Facebook au Twitter.
Taarifa hizi zitawapeleka kwenye link inayotumika kufanya malipo na yakifanyika watumiaji watapokea ujumbe kuwaambiwa kuwa malipo yao yamepokelewa.