Kocha wa Yanga, Nabi amewakana Simba kuwa hamasa ya ushindi wao mbele ya TP Mazembe haukusababishwa na Mtani wake kufungwa hapo jana.
Nabi amesema hayo baada ya kuulizwa swali na waandishi kama kupoteza kwa Simba kuliwahamasisha wao kufanya vizuri hii leo ?