Madrid yamtambulisha mrithi wa Ronaldo ndani ya Santiago Bernabeu (+video)
Katika hali isiyo ya kawaida klabu ya Real Madrid imemtambulisha rasmi mchezaji wake, Mariano Diaz aliyesajiliwa akitokea timu ya Lyon kuwa mrithi wa jezi namba saba iliyokuwa ikivaliwa na mshambuliaji hatari duniani ,Cristiano Ronaldo aliyesajiliwa na Juventus ya Italia.
🤳🏟👍 ¡Bienvenido a tu casa, @marianodiaz9!#WelcomeMariano | #HalaMadrid pic.twitter.com/AXvM6889C7
— Real Madrid C.F. (@realmadrid) August 31, 2018
Diaz mwenye umri wa miaka 25 amesajiliwa kwa dau la pauni milioni 18.6 akitokea Lyon ambapo alijiunga na klabu hiyo mwaka 2017 akitokea hapo hapo kwa mabingwa wa klabu bingwa barani Ulaya Real Madrid.
🌱⚽ @marianodiaz9 | #WelcomeMariano pic.twitter.com/WwD7fkBqTP
— Real Madrid C.F. (@realmadrid) August 31, 2018
Wachambuzi wa mambo wanaona kama ni hali isiyo kuwa ya kawaida kwa Madrid kumkabidhi kijana huyo jezi ya namba saba kutokana na aliyeiwacha kuifanyia makubwa ukilinganisha na Diaz ambaye wanaamini huwenda akashindwa kuitendea haki.
📸 @marianodiaz9 | #WelcomeMariano pic.twitter.com/gttZIIip7D
— Real Madrid C.F. (@realmadrid) August 31, 2018