Burudani
Mama Mjasiriamali Ley afunguka siri ya mafanikio biashara mtandaoni
“Nilikuwa nakopeshwa mzigo wa Tsh Mil 200, mtaji ni uaminifu”
Bongo5 wiki hii tumekutana na Mama Mjasiriamali @ley_home_hotel_appliance ambaye wiki hii amefungua duka jipya @ley_jewellers ambapo ameshare siri ya mafanikio katika biashara zake