Bongo5 ExclusivesBurudaniHabariMahojiano
Marioo ajiweka level za Wizkid na Davido, ntafanya show 02 Arena
Huenda @marioo_tz akawa msanii wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kufanya show kwenye ukumbi mkubwa nchini Uingereza wa 02 Arena wenye uwezo wa kuingiza watu 20,000.
Kupitia Insta Story yake @marioo_tz ameahidi kuwa mwaka huu atafanya show kwenye ukumbi huo na @davido ndiye atakayefanikisha hilo.
Unahisi @marioo_tz ataandaa show yake au atapandishwa na @davido ??