Habari
Mhe. Lema alia na IGP Sirro kuhusu watu wasiojulikana (Video)
Mbunge wa Arusha Mjini (CHADEMA), Godbless Lema amesema kuwa Ofisi ya IGP, Waziri wa Mambo ya Ndani kama hawajui watuhumiwa wanasema ni watu wasiojulikana hawafai kukaa ofisini: Tazama video