Meneja wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano, Ahmed Ally amezungumzia maendeleo ya Pre Season ya timu hiyo huko nchini Misri huku akizungumzia nyota watano waliojumuika na wenzao na timu watakayocheza nayo baada ya Ismaily SC waliyotoka nayo sare ya goli 1-1.