Burudani
Mkubwa na wanawe kuja na ‘Nibemende’
Baada ya kufanya vizuri na ngoma yao Ya Moto, hivi karibuni Mkubwa na Wanawe wanarajia kuachia ngoma nyingine mpya waliyofanya napProducer Shirko katika studio za Mkubwa na Wanawe. Ngoma hiyo inaitwa ‘Nibemende’.
Akiongea na Bongo5, Said Fela pia amempongeza kijana wake Aslay kwa kuzaliwa siku ya leo nakumtakia kila lakheri na endelee kufanya kazi kwa nguvu na azidi kuwa na nidhamu ya kazi itakayomfanya afike mbali kumuziki.