Burudani

Mpenzi wa Nelly aibuka na kumtetea kuhusu ubakaji

Msanii wa muziki nchini Marekani Nelly, huwenda akapona katika sakata linalomkabili la kumfanyia unyanyasaji wa kingono binti mmoja wakatiwa tour yake mwaka 2017.

Mpenzi wa msanii huyo Shantel Jackson, ameeleza kuwa mwanadada anayedai kubakwa na rapper huyo sio kweli kwani hata yeye alikuwepo katika eneo la tukio hilo ila alikuwa chumba cha kubadilishia nguo.

“Ni kweli mimi na Nelly tulikoseana ila hawezi kufanya tendo la ubakaji,” ameeleza mrembo huyo.

Monique Greene  ndiyo  mrembo anayedai kufanyiwa ubakaji na rapper huyo katika gari  la Tamasha maeno ya Washington, na sasa wanawake wengine wawili wameibuka na kudai kufanyiwa kitendo kama hicho na msanii huyo.

Maelezo ya mpenzi wa Nelly, Shantel Jackson:

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents