Burudani

Mzee Yusuf kuvamiwa na majambazi: Baada ya kusikia ‘paaa’ nikajua nimepigwa risasi (Video)

Aliyekuwa muimbaji wa muziki wa Taarab, Mzee Yusuf amedai kwamba muda mchache baada ya kavamiwa na majambazi siku tatu zilizopita ilipigwa baruti juu akadhani ni yeye amepigwa risasi ya kifua kumbe hakuna kitu “Nikawa najiuliza mbona sioni damu au ndio nimekufa?”

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents