Kocha wa Klabu ya @yangasc Nasreddine Nabi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa niaba yake na benchi zima la ufundi kwa salamu za pongezi baada ya kushinda dhidi ya Zalan FC goli 5-0 (Agg 9-0) na kusonga mbele kwenye michuano hiyo ya Ligi ya Mabingwa Afrika.