Burudani

Neema nyingine yamuangukia 2Face Idibia

2Face Idibia asaini dili la tatu kama balozi ndani ya miezi michache.

160509121714_rwanda_floods_9_624x351_bbc

Hatua hiyo imekuja baada ya wiki iliyopita kupata shahada ya heshima kutoka chuo kikuu cha Igbinedioncha nchini Nigeria na kuwa msanii wa kwanza wa nchi hiyo kupatiwa tuzo ya heshima kama hiyo.

Mwaka 2016 umeonekana kuwa wa neema zaidi kwa hitmaker huyo wa ‘African Queen’ baada ya kusaini mkataba mwingine na kampuni ya simu, Partner Mobile.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents