Kocha wa Klabu ya Simba Juma mgunda amesema kikosi chake kipo tayari kwa kukabiliana na michezo ya ushindani na kuhusu idadi ya magoli yeye na benchi lake la ufundi wanalifanyia kazi ili kupata matokeo mazuri.
Kocha wa Klabu ya Simba Juma mgunda amesema kikosi chake kipo tayari kwa kukabiliana na michezo ya ushindani na kuhusu idadi ya magoli yeye na benchi lake la ufundi wanalifanyia kazi ili kupata matokeo mazuri.