Burudani

Omarion na girlfriend wake wanatarajia kupata mtoto wa pili

Mwimbaji wa R&B wa Marekani ambaye ni baba wa mtoto mmoja, Omarion na girlfriend wake wa muda mrefu aitwaye Apryl Jones wanajiandaa kumpokea mtoto wao wa pili.

omarion-family

Mwimbaji huyo wa ‘Post to Be’ ametumia akaunti zake za mitandao ya kijamii kushare na mashabiki wake kuwa girlfriend wake ni mjamzito na anatarajia kujifungua mtoto wa kike.

“My lil princess is on the way. #5monthspreggoanduainteeknooit,” alitweet Omarion.

Mtoto wao wa kwanza ambaye ni wa kiume waliyempa jina la Megaa Omari Grandberry alizaliwa August 2014.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents