Habari

Orodha ya Mawaziri walioteuliwa na Rais Samia

Rais Samia afanya mabadiliko ya baraza la mawaziri na kubuni wizara mpya

Akitangaza mabadiliko hayo, Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Hussein Kattanga amesema Rais amefanya mabadiliko ya muundo katika wizara tatu.

Rais Samia ”ameunganisha wizara tatu, iliyokuwa wizara ya uwekezaji iliyokuwa chini ya ofisi ya Waziri Mkuu na pia ameunganisha wizara ya biashara moja ambayo itaitwa uwekezaji , viwanda na biashara”, amesema Balozi Hussein Kattanga.
Aidha kama alivyoahidi Rais Samia ameunda Wizara ya Maendeleo ya jamii, jinsia ,wanawake na Makundi maalum.

Orodha ya Mawaziri na Manaibu… (Swipe left picha)

Ofisi ya Rais Ikulu
Waziri wa Nchi Kazi Maalum – Kapeni Geroge Mkuchika

Waziri wa Utumishi – Jenista Mhagama
Naibu Waziri Utumishi – Deogratius John Ndejembi

TAMISEMI
Waziri – Innocent Bashungwa
Naibu Waziri – David Silinde
Naibu Waziri – Festo Dugange

Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Waziri – Suleimani Jafo
Naibu Waziri – Hamis Hamis

Sera Bunge
Pindi Chana
Nderiananga

Wizara ya Kazi Ajira
Waziri – Ndalichako waziri

Wizara ya Ulinzi –
Wizara ya Sheria na Katiba
Waziri – George Simbachawene
Naibu Waziri – Godfrey Mizengo Mizengo Pinda

Wizara ya Kilimo
Waziri – Hussein Bashe
Naibu Waziri – Anthony Mavunde

Wizara ya Uvuvi
Waziri – Mashimba Ndaki
Naibu Waziri – Abdallah Hamisi Ulega

Wizara ya Ardhi
Waziri – Angelina Mabula
Naibu Waziri – Ridhiwani Kikwete

Waziri – Innocent Bashungwa
Naibu Waziri – David Silinde
Naibu Waziri – Dugange

Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Waziri – Suleimani Jafo
Naibu Waziri – Hamis Hamis

Wizara ya Kazi Ajira
Waziri – Ndalichako
Naibu Waziri – Patrobas Katambi

Wizara ya Fedha
Waziri – Mwigulu Mwigulu
Naibu Waziri – Chande

Wizara ya Ulinzi
Waziri – Stergomena Tax

Wizara ya Sheria na Katiba
Waziri – George Simbachawene
Naibu Waziri – Godfrey Mizengo Mizengo Pinda

Wizara ya Kilimo
Waziri – Hussein Bashe
Naibu Waziri – Anthony Mavunde

Wizara ya Uvuvi
Waziri – Mashimba Ndaki
Naibu Waziri – Abdallah Hamisi Ulega

Wizara ya Ardhi
Waziri – Angelina Mabula
Naibu Waziri – Ridhiwani Kikwete.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents