Burudani
P Funk afunguka ugumu wakuwaweka pamoja tena Nature, Chege na Temba kupitia TNC (Video)
Mtayarishaji wa muziki na mfanyabiashara @majani187 amezungumza na Bongo5 kuhusu ujio wa TNC ambayo inayowaonganisha @mhtemba , @sir_nature na @chegechigunda katika ujio mpya baada ya kufanya vyema miaka ya nyuma na TMK.
P amesema tayari wasanii hao wameshaandaa albamu yenye nyimbo 12 na kila moja ina video.