Habari
Picha: Mwili wa marehemu Mangwea ulipowasili hospitali ya Muhimbili
“baunsa akiwa kwenye gari lilobeba mwili wa marehemu
Watu walikuwa wengi sana hospitali na polisi nao walikuwa wakutosha
Hafsa kazinja, Dj Choka, Prof J n,Mchizi Mox
“Mrisho Mpoto alikuwa akiongea na Kamanda wa polisi wa Ilala walipo kuwa Mochwari kuhifadhi mwili wa Marehemu Ngwea
“Mwili wa Marehemu Ngwea ukiingia maeneo ya Hospitali ya Muhimbili ukiongozwa na pikipiki
Mwili wa Marehemu uliingizwa na kuwekwa hapa
TID akiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti
Wasani wa Kundi la Weusi wakibadilisha mawazo na jay mo
Watu walitokeza kwa wingi sana Hospitali