Burudani
Picha: Rob Kardashian asherekea Uhuru wa Marekani kwa staili yake
Moja ya vijana kutoka familia ya Kardashian, Rob Kardashian amepost picha mbalimbali akisherekea siku ya Uhuru wa Marekani, akiwa na binti yake Dream.
Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram, kijana huyo alitiririsha picha akiwa na mtoto wake mwenye miezi nane aliyezaa naye mrembo Blac Chyna. Siku ya Uhuru wa Marekani huazimishwa kila mwaka Julai 4.
Na Laila Sued