Burudani

Picha: Wanaume wawekewa mashine inayowapa maumivu ya uchungu wa kuzaa, jionee walivyolia!

Kuna usemi usemao kuwa kama wanaume wangechukua nafasi ya wanawake kuzaa watoto, leo hii kusingekuwa na binadamu. Na sasa uchungu wanaoupata wanawake wakati wa kuzaa unaweza kuonjwa na wanaume nchini China.

1415134673895_wps_2_Pic_shows_Man_uses_an_ele
Yalaaaaaa

Hospitali moja kwenye mji wa Jinan uliopo kwenye jimbo la Shandong, linawaonjesha wanaume kwenye kifaa maalum ‘childbirth simulator’ ili kujionea wenyewe kile wake zao huwa wanakutana nacho wakati wa kujifungua.

1415136362038_wps_7_Pic_shows_Man_is_crying_a
Machozi yakimtoka mwanaume aliyewekewa mashine ya uchungu wa kuzaa

Watu wengi wanaojitolea kuwekewa mashine hiyo ni waume au wachumba wa wanawake wenye ujauzito.

1415136372738_wps_9_Pic_shows_Man_uses_an_ele
Mwanaume akisikilizia maumivu makali kama wayapatayo wanawake wakati wa kujifungua

Hospitali hiyo imesema inataka kuwaonesha wanaume jinsi wanawake wanavyoteseka wakati wa kuzaa ili wanaume waheshimu kile wanawake wanakipitia.

article-2626363-1DC5C27D00000578-212_634x414

Wanaume wengi katika zoezi hilo walilia na wengi waliweza kuhimili maumivu hayo kwa dakika chache tu.

article-2626363-1DC5C28400000578-840_634x432

1415136367539_wps_8_Pic_shows_Man_uses_an_ele

article-2626363-1DC5C24B00000578-733_634x603

article-2626363-1DC5C23600000578-933_634x442

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents