Habari

Polisi yawadaka watatu kwa kuwabeba wanafunzi 34 kwenye Noah

Kikosi cha usalama barabarani cha jeshi la polisi katika kanda maalum ya Dar es Salaam kinawashikilia watu 3 kwa kosa la kuwabeba wanafunzi 34 wenye umri kati ya miaka 6 hadi 8 katika gari moja aina ya Noah.

Gari hiyo ina namba za usajili T.949DDY huku wanafunzi hao wengine waliwekwa kwenye buti la gari hilo.

BY: Emmy Mwaipopo

Chanzo: ITV

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents