Burudani
Producer Allan Mapigo aumizwa na kasi ndogo ya Rich Mavoko kwenye muziki wake (Video)
Mmoja kati ya watayarishaji wakongwe wa muziki, Allan Mapigo amefunguka kuzungumzia hali ya muziki wa Bongo Fleva kwa sasa pamoja na namna baadhi ya wasanii wakali wanavyokwama huku akiweka wazi namna muimbaji Rich Makovo anyokwenda kwa kasi ndogo wakati ana kipaji cha hali ya juu.