Habari
Rais Magufuli aonya vyombo vya habari kuwachafua Marais wastaafu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amevionya vyombo vya habari vinavyowahusisha marais wastaafu, Mzee Mkapa na Dkt Kikwete na ripoti za uchunguzi wa madini.
Soma taarifa kamili:
Na Emmy Mwaipopo