Habari
Rais Magufuli atuma salamu za rambirambi kufuatia vifo vya watu 12
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella kufuatia vifo vya watu 12.
Soma taarifa kamili: