Habari
Rais Samia Suluhu kufanya ziara nchini Kenya (+Video)
Akitoa taarifa Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu @gersonmsigwa amesema Mhe. Rais Samia Suluhu atafanya ziara ya siku mbili nchini Kenya Kuanzia Mei 04, 2021.