Habari

Rapa Albino Fulani kupewa heshima ya mwisho Jumamosi hii USA

Rapa na mwanaharakati Albino Fulani ambaye amefariki dunia wiki hii nchini Marekani anatarajia kufanyiwa misa na kupewa heshima ya mwisho.

Kwa mujibu wa rapa Rapa Wakazi amesema yeye ndio anaelekea nyumbani kwa marehemu kwaajili ya kujua taratibu nyingine ambazo zinaandaliwa kwaajili ya kumpumzisha msanii hiyo.

Alisema misa na kutoa heshima ya mwisho itafanyika nyumbani kwa marehemu.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents