Bongo5 ExclusivesBurudaniHabari

Rayvanny na S2kizzy kuileta tuzo ya Grammy kwa mara ya kwanza Tanzania??

Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia kuhusu @rayvanny na @s2kizzy kuingia kwenye tuzo za GRAMMY. @el_mando_tz anasema kuwa huenda @rayvanny na @s2kizzy wakawa wasanii wa kwanza Tanzania kuileta Tuzo kubwa kabisa duniani ya GRMMY.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents