BurudaniHabari

RECAP: Chanzo cha Ugomvi wa Marioo na Chino

Kupitia kwenye kipindi cha RECAP & MANDO @el_mando_tz amezungumzia sakata linaloendelea kati ya Marioo na Chino ambapo kunaonekana kuna ugomvi mkubwa unaendelea kati yao.

Chino ameweka wazi sababu z augomvi wao licha ya kuwa Marioo hajaongea chochote mpaka sasa kuhusu hicho kinachoendelea mitandaoni.

Ukweli ni Kwamba Marioo na Chino wamefanya kazi muda mrefu sana na wanajjuana vizuri.

@el_mando_tz leo katika uchambuzi wake amechambua kwa kina kuhusu ugomvi huo na kusema wote Marioo, Chino wanamakosa na pia katika ugomvi huo Abbah nna Jaivah wanahusika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents