Burudani
Rihanna apost picha za kwenye cover ya jarida la Esquire
Kama kawaida, Rihanna ametoka bomba kinomanoma!
RiRi hakuweka picha peke yake bali aliziongezea maneno ya uchokozi kutoka kwenye wimbo wake ‘Hard’!
“They can say whateva, ima do whateva,” Ain’t like me, dat bitch too phony”, na kwenye picha anayoonekana na kipenga mdomo ameandika “No pain is foreva”.
Hmm, inaonesha kama Rihanna alikuwa akimlenga mtu baada ya wiki iliyopita kujikuta kwenye beef kadhaa kwenye Twitter.