Burudani

Steve Nyerere akikutana na Zumaridi “Kwanza kichwa halafu bakora” (Video)

 

Msanii wa filamu na Mwenyekiti wa Uzalendo Kwanza @stevenyerere2 ameshangazwa na ukimya wa baadhi ya watu juu ya wachungaji wa aina ya Zumaridi ambao wamekuwa wakiibuka kila uchwao.

Amedai hali hiyo sio Tanzania pekee akitoa mfano mchungaji ambaye ameshinda mchezo wa bahati nasibu na kuamua kufunga kanisa na kuwaacha waumini kwenye mataaa.

Ameiomba serikali pamoja na Wizara ya Mambo ya Ndani kuchukua hatua za haraka kwa wachungaji wa namna hii ili kuiepuka upotoshwaji mkubwa ambao unafanywa.

Kuangalia full interview tembelea YouTube ya Bongo5

Written and edited by @yasiningitu

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents