Habari
TRA yavunja rekodi ya mapato; yafikia trilioni 1.7 kwa mwezi
Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA imekusanya trilioni 1.7 kwa mwezi mmoja kiwango ambacho kinaelezwa hakiwahi fikiwa toka kuanzishwa kwa mamlaka hiyo.
Msemaji wa serikali ametoa taarifa hiyo kupitia mtandao wa Twitter “TRA yavunja rekodi ya mapato; yafikia trilioni 1.7 kwa mwezi, haijawahi kufikiwa tangu kuanzishwa kwa Mamlaka hiyo.”