Habari

Video: Ajali za mabasi ya mwendokasi bado ni kikwazo, gari dogo lagonga basi la mwendokasi Dar

Licha ya elimu kuendekendelea kutolewa kuhusu matumizi sahihi ya barabara za mwendo kasi, lakini bado uelewa wa madereva umekuwa mdogo ambapo weekend hii kumetokea ajali ambayo ilihusisha gari dogo aina ya Toyota Vitz limegonga basi la mwendokasi Magomeni jijini Dar es Salaam

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents