Habari
Video: Ajali za mabasi ya mwendokasi bado ni kikwazo, gari dogo lagonga basi la mwendokasi Dar
Licha ya elimu kuendekendelea kutolewa kuhusu matumizi sahihi ya barabara za mwendo kasi, lakini bado uelewa wa madereva umekuwa mdogo ambapo weekend hii kumetokea ajali ambayo ilihusisha gari dogo aina ya Toyota Vitz limegonga basi la mwendokasi Magomeni jijini Dar es Salaam