Burudani
Video: Diamond, Alikiba, Vanessa Mdee watajwa kufanya vizuri Kenya
Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya katika kundi la P-Unit, Gabuu ametaja orodha ya wasanii wa muziki wa Bongo wanaosikilizwa zaidi nchini humo. Wasanii hao ni Diamond Platnumz,Vanessa Mdee, Alikiba,Chegge, Ben Pol,Chin Bees na wengineo.