Habari
VIDEO: Haji Manara amaliza utata usajili wa Aziz Ki
Msemaji wa Klabu ya Yanga ametolea ufafanuzi swala la usajili ndani ya timu hiyo inayohusishwa na kiungo wa Asec Mimosas, Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso.
Msemaji wa Klabu ya Yanga ametolea ufafanuzi swala la usajili ndani ya timu hiyo inayohusishwa na kiungo wa Asec Mimosas, Stephane Aziz Ki raia wa Burkina Faso.