Burudani
Video: Kanye West atangaza kugombea urais wa Marekani mwaka 2020
Kanye West ametangaza kuwa atagombea urais mwaka wa Marekani mwaka 2020.
Kanye ametoa tangazo hilo kwenye tuzo za VMA zilizofanyika Jumapili hii.
“Ndio kama ambavyo mnaweza kuwa mmebashiri muda huu, nimeamua mwaka 2020 kugombea urais,” alisema Kanye na kuacha ukumbi mzima ukishangalia.
http://t.co/FvHM51uonc was registered earlier this year.
— Brian Stelter (@brianstelter) August 31, 2015