Burudani
Video na wimbo mpya wa Linah kutoka baada ya Ramadan
Linah Sanga ataachia wimbo na video yake mpya baada ya mwezi mtukufu wa Ramadan.
Taarifa hiyo imetolewa na kampuni inayomsimamia, Panamusiq.
“So we decided to release @officiallinah new song & video after Ramadan. ’cause we want to release with a BANG!!! I mean the noise u’ll get over sikuku is nothing compared to the noise we are going to make with this tune!!! Just get your earplugs handy,” wameandika.
Hivi karibuni Linah alishoot video ya wimbo huo na kumtumia muongozaji wa Afrika Kusini, Godfather.