Burudani
Video/Picha: Alikiba aanza mazoezi ya nguvu Coastal Union Tanga
Mwanamuziki Alikiba ameanza mazoezi ya nguvu kujiandaa na ligi kuu Tanzania Bara akiwa na timu yake ya Coastal Union ya mkoani Tanga.
https://www.instagram.com/p/BmBjDVohsPa/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1hk12gnkkvvu4
Ni siku chache toka klabu hiyo itangaze kumsajili muimbaji huyo mwenye kipaji cha hali ya juu cha kusakata kabumbu.
Wiki iliyopita akiwa kwenye harusi ya dada yake Zabibu aliyeolewa na mchezaji mpira Banda, alisema atakwenda kuichezea Coastal Union usimu huu.
Mashabiki wa muziki na wadau wa mambo wanajiuliza muimbaji huyo hatawezaje kuwahudimia mashabiki wa mpira na muziki kwa wakati mmoja.
amekosa vya kufanya …..angepirwa rafu ya nguvu ili tumtakie R.I.P
Kamkimbia mtu
Anguko la kimuziki kwake
Na wewe kaimbe
Sina fani hiyo
kiboko cha simba
huo ni ukuda bro
Bichwa kubwa akili kisoda
Inapendeza Sna, watu wengi huwa wanafikiri π anashindana na mtu kimziki ila alisha sema nop anacho kifanya anajua
Badala ya kumsifia kwamba ana vipaji wewe unataka afe..mungu anakuona na roho yako ya kishetani
Una wivu tuu pua kubwa kama ya urithi
Huyu jamaa atafika mbali kinoma
Heri mpira mziki umezaliwa upya wcb
Kingkibaππ
Mziki kaz ngumu
Hakika tutaona mengi coastal yaan mmeanza yaleyale ya kitangatanga mnamsajili mtu hata ligi daraja za chin hajawahi cheza hata mazoezin mburula km kibiashara sawa Ila co kuleta ushindi
Joketi nae kisha anza kazi kule kisarawe…
Mziki umemushinda awaachie wenyewe wcb πππππππ
Noma kiba aminia kaz kaz
Ww unatinga sn kazini
Firauni
Bora.mana kule kugumu
Huko ndiko kwenye kiwango chake ,mziki amwachie mtaalam SIMBA .ha ha ha ha
Mjomba bhana