Burudani
Video: Rapa ‘Coyo’ awajibu mashabiki wanaomfananisha na Kcee
Rapa Chipukizi anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Ziwafikie’ Coyo amefunguka na kusema kuwa hategemei kiki ya kufananishwa na baadhi ya Mashabiki na Msanii mkubwa kutoka Nigeria ‘Kcee’ .
Akizungumza na Bongo5, Coyo amesema kuwa anaambiwa na watu wengi hususani mashabiki wake kuwa anafanana na Rapa Kcee, lakini yeye hatumii kabisa kigezo hicho kujitangaza, badala yake anatoa kazi nzuri ili kuweza kufikia malengo yake.
Msikilize hapa chini kwenye mahojiano yake akifunguka pia kuhusu safari yake ya muziki kiujumla
By Godfrey Mgallah