Videos
Video: Tazama daraja la Kigamboni linavyopendeza usiku
Daraja la Kigamboni linaweza kuja kuwa kivutio kingine muhimu jijini Dar es Salaam. Ni kwasababu daraja hilo la ‘cable – stay (linalobeba uzito kwa nyaya au kamba) linavutia sana usiku.
Daraja la Kigamboni usiku
Daraja hilo litakalozinduliwa rasmi Jumanne hii na Rais Dkt John Pombe Magufuli limegharimu zaidi dola milioni 140, na litachukua nafasi ya feri inayosafirisha watu na magari kati ya Kigamboni na Kivukoni upande wa mjini Dar.
Tayari wananchi na magari wameanza kulitumia daraja hilo.
Picha/Video: By Slide Visuals