Burudani
Video: Wasanii wa Bongo Movie tutaanza kushoot filamu kwa helikopta – JB
Msanii mkongwe wa filamu, Jacob Stephan aka JB amefunguka kwa kudai kwamba kwasasa tasnia ya filamu mambo yameanza kuwa mazuri ambapo ameahidi mambo yakiendelea hivyo mwakani wasanii wa filamu wataanza kushoot movie kwa kutumia helikopta.