Burudani
Video: Zari na Hamisa wawekwa chungu kimoja, Noel aeleza yote yanayojiri
Mbunifu wa mavazi Bongo, Noel amesema licha ya Zari na Hamisa kutoelewana yeye anafanya kazi na wote kwani anachojali ni biashara yake na mambo ya timu kwake hayana nafasi.